Kipa wa Steaua Bucharest, Valentin Cojocaru akiushuhudia mpira wa kichwa wa Fabian Delph ukifanya safari ya kuelekea nyavuni kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Etihad. Man City imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-0 baada ya kushinda 5-0 katika mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Insecurity: Self-defence inevitable, says Catholic communicators
-
Catholic Communicators in Nigeria under the auspices of SIGNIS have
condemned the incessant killings of priests and other Nigerians by bandits,
kidnapper...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni