Kipa wa Steaua Bucharest, Valentin Cojocaru akiushuhudia mpira wa kichwa wa Fabian Delph ukifanya safari ya kuelekea nyavuni kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Etihad. Man City imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-0 baada ya kushinda 5-0 katika mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U23 will zu Hause gegen Aue nachlegen
-
Borussia Dortmunds U23 ist seit zwei Spielen ungeschlagen, am vergangenen
Wochenende gelang ein 5:0-Sieg beim VfB Lübeck. Am Samstag soll der nächste
Sieg ...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment