Kipa wa Steaua Bucharest, Valentin Cojocaru akiushuhudia mpira wa kichwa wa Fabian Delph ukifanya safari ya kuelekea nyavuni kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Etihad. Man City imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-0 baada ya kushinda 5-0 katika mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yardeni asks: Which Inflation Rate Is Warsh Targeting?
-
Investing.com -- Federal Reserve Chair Kevin Warsh may be steering the
central bank toward a different approach to measuring inflation, placing
greater emp...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment