• HABARI MPYA

    Thursday, August 25, 2016

    MAN CITY YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA ULAYA

    Kipa wa Steaua Bucharest, Valentin Cojocaru akiushuhudia mpira wa kichwa wa Fabian Delph ukifanya safari ya kuelekea nyavuni kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Etihad. Man City imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-0 baada ya kushinda 5-0 katika mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top