Kikosi cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys kikiwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar kabla ya moja ya mechi zao za michuano ya Afrika Mashariki na Kati iliyofanyika visiwani humo mapema mwaka 2004. Wa kwanza kushoto aliyesimama ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Subira Mambo (sasa marehemu).
Golfer throws tantrum for the ages - as rumours swirl he will join Greg Norman's rebel LIV tour
-
US golfer Jason Kokrak has gone viral online following a meltdown for the
ages, sparking rumours he is about to be the latest PGA player to defect to
Greg ...
Dakika 48 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni