Kikosi cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys kikiwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar kabla ya moja ya mechi zao za michuano ya Afrika Mashariki na Kati iliyofanyika visiwani humo mapema mwaka 2004. Wa kwanza kushoto aliyesimama ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Subira Mambo (sasa marehemu).
Little Miss Sunshine stars share why they believe film is the ‘most
dangerous movie ever made’
-
‘No children were damaged in the making of this movie,’ Greg Kinnear joked
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment