Kikosi cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys kikiwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar kabla ya moja ya mechi zao za michuano ya Afrika Mashariki na Kati iliyofanyika visiwani humo mapema mwaka 2004. Wa kwanza kushoto aliyesimama ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Subira Mambo (sasa marehemu).
Who blinks first over Reiss Nelson? – Opinion
-
With Arsenal expected to continue trimming the squad before the transfer
window closes, Reiss Nelson’s future remains one of the more intriguing
situations...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment