Washambuliaji wa timu ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes, Abubakar Mkangwa (kushoto) na Abdallah Saleh Sabebe (kulia) wakipambana kwenye lango la vijana wenzao wa Ghana katika mchezo wa kufuzu Fainali za Afrika uliofanyika mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru, Dar es Salaam).
Sunday, August 21, 2016
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



.png)
0 comments:
Post a Comment