Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 83 dhidi ya mabingwa wa England, Leicester City katika mchezo wa Ngao ya Jamii kuashiria kupenuliwa kwa pazia la msimu mpya jioni ya leo Uwanja wa Wembley, London. Man United imeshinda 2-1, baada ya Jesse Lingard kuanza kufunga dakika ya 32, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester dakika ya 32 kwa pasi boko ya Marouane Fellaini na Ibrahimovic kupiga la ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
County cricket's civil war is breaking out - LAWRENCE BOOTH reveals secret
meeting of 'have nots' as the Hundred threatens 11 counties with looming
'cliff edge' of spiralling costs, their best players being pinched and
'irrelevance or failure'
-
The meeting was called due to increasing worries among non-host counties
about spiralling costs and inflation. A document seen by Daily Mail Sport
flagged ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment