Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bennacer flies out for new job in Qatar after Milan terminate contract
-
Ismael Bennacer’s time at Milan is finally over after confirmation his
contract was terminated, allowing him to fly out to join Al-Gharafa in the
Qatar Sta...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment