Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yardeni asks: Which Inflation Rate Is Warsh Targeting?
-
Investing.com -- Federal Reserve Chair Kevin Warsh may be steering the
central bank toward a different approach to measuring inflation, placing
greater emp...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment