Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Strike-ASUU, other unions not invited to last Thursday’s meeting- Labour Ministry
-
From Adanna Nnamani, Abuja The Federal Ministry of Labour and Employment
has clarified on not inviting the Academic Staff Union of Universities
(ASUU) to...
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni