Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili katika ushindi wa 3-2 Uwanja wa Stamford Bridge dhidi ya Bristol Rovers kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Victor Moses, wakati ya Bristol yalifungwa na Paul Hartley na Ellis Harrison PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Barcelona running out of time to persuade Ousmane Dembele to stay with winger's deal set to expire
-
Dembele's agent Moussa Sissoko travelled to Barcelona on Monday morning for
another meeting to discuss a potential contract extension.
Dakika 30 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni