Sergio Aguero (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili, la kwanza kwa penalti dakika ya 27 na lingine akimalizia pasi ya Kevin De Bruyne dakika ya 36 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Bet365 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yalifungwa na Manuel Agudo Duran maarufu Nolito dakika ya 86 na 90 na ushei, wakati la wenyeji lilifungwa na Bojan Krkic kwa penalti dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea caretaker Calum McFarlane bristles at suggestion he is
underqualified without a Pro Licence - and reveals he has not spoken to
Liam Rosenior about which players let him down in the Brighton debacle
-
OLIVER HOLT: There is a belief among some of the mind gurus and statistics
experts at Chelsea that there is little correlation between the identity of
a cl...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment