Sergio Aguero (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili, la kwanza kwa penalti dakika ya 27 na lingine akimalizia pasi ya Kevin De Bruyne dakika ya 36 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Bet365 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yalifungwa na Manuel Agudo Duran maarufu Nolito dakika ya 86 na 90 na ushei, wakati la wenyeji lilifungwa na Bojan Krkic kwa penalti dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How Scotland have a 0.1% chance of reaching the knockout stages,
who England are set to face in the last 32 and who is most likely to win
the World Cup
-
Scotland need a miracle to remain one of the World Cup's top eight
third-placed teams and stay in the competition. Steve Clarke's side are
being hauled tow...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment