Sergio Aguero (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili, la kwanza kwa penalti dakika ya 27 na lingine akimalizia pasi ya Kevin De Bruyne dakika ya 36 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Bet365 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yalifungwa na Manuel Agudo Duran maarufu Nolito dakika ya 86 na 90 na ushei, wakati la wenyeji lilifungwa na Bojan Krkic kwa penalti dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment