Mwanariadha Usain Bolt akishangilia baada ya kushinda Medali ya Dhahabu ya mbio za mita 400 katika Olimpiki ya Rio 2016. Hiyo inakuwa Medali ya tatu ya dhahabu kwa Bolt, baada ya awali kushinda katika mita 100 na 200, hivyo kurudia mafanikio ya Olimpiki za Beijing 2008 na London 2012 aliposhinda Medali zote hizo tatu za dhahabu katika mbio hizo, Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 jana alikimbia mbio zake za mwisho mjini Olimpiki ya 2016 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment