Mwanariadha Usain Bolt akishangilia baada ya kushinda Medali ya Dhahabu ya mbio za mita 400 katika Olimpiki ya Rio 2016. Hiyo inakuwa Medali ya tatu ya dhahabu kwa Bolt, baada ya awali kushinda katika mita 100 na 200, hivyo kurudia mafanikio ya Olimpiki za Beijing 2008 na London 2012 aliposhinda Medali zote hizo tatu za dhahabu katika mbio hizo, Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 jana alikimbia mbio zake za mwisho mjini Olimpiki ya 2016 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mayhem at end of Nuggets-Timberwolves playoff game as Nikola Jokic sparks
huge brawl after Jaden McDaniels' controversial act
-
As his team moved 3-1 ahead in the series, Timberwolves star Jaden
McDaniels angered Nuggets rival Nikola Jokic when he ran through
unchallenged and scored...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment