Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United close to agreeing terms with Barcelona over midfielder Frenkie de Jong
-
Manchester United are inching towards a conclusion in their protracted
pursuit of Frenkie de Jong from Barcelona and hope to have the transfer
completed th...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni