Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Suspected herdsmen kill health worker, behead victim in Benue community
-
From Scholastica Hir, Makurdi There is palpable fear in Ikobi community in
Apa Local Government Area (LGA) of Benue State following the killing of a
heal...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment