Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Man United ikishinda 2-0 dhidi ya Southampton usiku huu Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ibrahimovic ndiye aliyeifungia bao la pili pia timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Artemi Panarin, Rangers Championed By NHL Fans for Sweeping Alex Ovechkin,
Capitals
-
The New York Rangers are the first team to advance in the 2024 Stanley Cup
Playoffs. After taking the first three games of the series against the
Washington…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment