Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Man United ikishinda 2-0 dhidi ya Southampton usiku huu Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ibrahimovic ndiye aliyeifungia bao la pili pia timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micron's $50 Billion AI Buildout Is Transforming Boise
-
The memory boom is creating jobs, wealth and pressure.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment