Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili ikishinda 3-1 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City limefungwa na Fernandinho, wakati la West Ham limefungwa na Michail Antonio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bennacer flies out for new job in Qatar after Milan terminate contract
-
Ismael Bennacer’s time at Milan is finally over after confirmation his
contract was terminated, allowing him to fly out to join Al-Gharafa in the
Qatar Sta...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment