• HABARI MPYA

    Wednesday, August 24, 2016

    WILLIAM FAHNBULLAH ALIKUWA BALAA NA YANGA WALIPATA SHIDA!

    Mshambuliaji wa Kajumulo WS, William Fahnbullah aliyewahi kung’ara na Simba SC akiwatoka wachezaji wa Yanga, Yahya Issa na Ephraim Makoye katika mchezo wa Ligi Kuu ya Muungano mwaka 2001 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WILLIAM FAHNBULLAH ALIKUWA BALAA NA YANGA WALIPATA SHIDA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top