TANZANIA NA IVORY COAST KATIKA PICHA 'KARUME BEACH' JANA
Mchezaji wa Tanzania, Rolland Revocatus Kessy (kushoto) akijaribu kumzuia mchgezaji wa Ivory Coast, Aka Kablan Frederic katika mchezo wa kwanza hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya Faiali za Soka la Ufukweni Afrika baadaye mwaka mjini Lagos, Nigeria uliofanyika jana Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Ivory Coast ilishinda 7-3
Ahmada Abdi wa Tanzania (kushoto) akikimbilia mpira dhidi ya Djeddjed Guy Hans (kulia) na Djere Fabien Sola (katikati) wa Ivory Coast
Samuel Sarungi Opanga wa Tanzania (kushoto) akimtoka Kouassitch Daniel wa Ivory Coast (kulia)
Wachezaji wa Ivory Coast na Tanzania wakigombea kwenye jana Karume
Kikosi cha Tanzania jana Uwanja wa Karume
Kikosi cha Ivory Coast jana Uwanja wa Karume
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (katikati) akiwa na viongozi wengine wa ngazi mbalimbali za soka nchini
Kocha wa Tanzania, John Jacob Mwansasu (kushoto) akizungumza na wachezaji wake wakati wa mapumziko jana
Chelsea's Ziyech in talks with AC Milan
-
Italian side AC Milan is in talks to sign Hakim Ziyech from Chelsea.
Ziyech joined Chelsea two years ago from Ajax for a reported fee of £33m.
As reported...
5:0 gegen Düsseldorf: U23 gewinnt erstes Testspiel
-
Mit 5:0 hat Borussia Dortmunds U23 unter dem neuen Trainer Christian
Preußer die Zweitvertretung von Fortuna Düsseldorf geschlagen. Beim Test in
der Sports...
Women Deliver 2023 Conference: Why Rwanda?
-
Maliha Khan was born and raised in Pakistan, a country where women suffer
from pervasive gender-based violence, domestic abuse, honour killings, and
sexu...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni