• HABARI MPYA

    Sunday, August 28, 2016

    KIGAMBONI ‘LILIKUWA CHIMBO’ MAARUFU LA YANGA WAKATI FULANI

    Wachezaji wa Yanga SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Sayansi ya Jamii (sasa chuo cha Mwalimu Nyerere), Kigamboni, Dar es Salaam mwaka 2000 kujiandaa na moja ya mechi zao. Kutoka kushoto Said Mwamba ‘Kizota’ (sasa marehemu), Edibily Lunyamila, Freddy Mbuna, Jaffar Abbas na Mohammed Abdulkadir ‘Tash’ kwa nyuma. Hiyo ilikuwa kambi maarufu ya Yanga wakati wa uongozi wa Tarimba Abbas ‘Thabo Mbekhi’ mwaka 1998 hadi 2001 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIGAMBONI ‘LILIKUWA CHIMBO’ MAARUFU LA YANGA WAKATI FULANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top