Wachezaji wa Yanga SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Sayansi ya Jamii (sasa chuo cha Mwalimu Nyerere), Kigamboni, Dar es Salaam mwaka 2000 kujiandaa na moja ya mechi zao. Kutoka kushoto Said Mwamba ‘Kizota’ (sasa marehemu), Edibily Lunyamila, Freddy Mbuna, Jaffar Abbas na Mohammed Abdulkadir ‘Tash’ kwa nyuma. Hiyo ilikuwa kambi maarufu ya Yanga wakati wa uongozi wa Tarimba Abbas ‘Thabo Mbekhi’ mwaka 1998 hadi 2001
NFL Rumors: Kirk Cousins Got 'Cursory' Look from Steelers Before Russell
Wilson Deal
-
Before dramatically overhauling their quarterback room this offseason, the
Pittsburgh Steelers initially gauged the possibility of signing Kirk
Cousins in…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment