• HABARI MPYA

    Sunday, May 03, 2015

    JINSI YA KUMKABA TAMBWE ASIFUNGE...

    Beki wa Etoile du Sahel, Brigui Alaya akimkaba mshambuliaji wa Yanga SC, Amissi Tambwe katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika jana Uwanja wa Olimpiki mjini Sousse, Tunisia. Etoile ilishinda 1-0 na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1, baada ya sare ya 1-1 awali Dar es Salaam.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JINSI YA KUMKABA TAMBWE ASIFUNGE... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top