// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); PLUIJM, MKWASA WAKISOMA MBINU ZA SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE PLUIJM, MKWASA WAKISOMA MBINU ZA SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, January 06, 2015

    PLUIJM, MKWASA WAKISOMA MBINU ZA SIMBA SC

    Makocha wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm (kushoto) na Msaidizi wake, Charles Boniface Mkwasa kulia wakishuhudia mchezo wa Kundi C Kombe la Mapinduzi kati ya Simba SC na JKU Uwanja wa Amaan, Zanzibar usiku wa jana. Simba SC ilishinda 1-0 na kutinga Robo Fainali. Yanga inaweza kukutana na Simba SC katika michuano hiyo. Makocha kadhaa wamefukuzwa Yanga SC kwa sababu ya kufungwa na Simba SC na Pluijm katika kulitambua hilo amekuwa akihudhuria mechi zote za mahasimu wao ili kusoma mbinu zao.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PLUIJM, MKWASA WAKISOMA MBINU ZA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top