![]() |
Kiungo wa Al Markhiya ya Qatar, Mwinyi Kazimoto akiwatoka wachezaji weznake kwenye mazoezi ya Taifa Stars leo |
![]() |
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimiliki mpira katikati ya viungo wa Simba SC, Amri Kiemba kushoto na Said Ndemla kulia |
![]() |
Wachezaji wa Yanga SC, winga Simon Msuva akimtoka beki Oscar Joshua kwenye mazoezi ya Stars leo |
![]() |
Mrisho Ngassa wa Yanga akipasua katikati, kushoto ni Jonas Mkude wa Simba SC |
0 comments:
Post a Comment