• HABARI MPYA

    Wednesday, October 15, 2014

    IVO MAPUNDA ALIVYOANZA KUWAPASHIA YANGA SC JANA J'BURG...KIKOSI SIMBA KIPO 'TAYARI TAYARI' KWA HIYO JUMAMOSI YA WATANI

    Kipa namba moja wa Simba SC, Ivo Mapounda (katikati) akifanya mazoezi na timu yake hiyo mjini Johannesburg, Afrika Kusini jana. Kulia ni kipa wa tatu, Peter Manyika na kushoto kocha anayewanoa huko.
    Kipa namba mbili, Hussein Sharrif 'Cassilas' aliyeumia ugoko, bado hajaanza mazoezi na asubuhi ya leo Simba SC inacheza na Jomo Cosmos
    Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi jana. Timu hiyo imeweka kambi huko kujiandaa na mchezo dhidi ya mahasimu, Yanga SC Jumamosi wiki hii mjini Dar es Salaam
    Wachezaji wa Simba SC wanaonekana wapo katika hali nzuri kuelekea mchezo huo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IVO MAPUNDA ALIVYOANZA KUWAPASHIA YANGA SC JANA J'BURG...KIKOSI SIMBA KIPO 'TAYARI TAYARI' KWA HIYO JUMAMOSI YA WATANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top