// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); RASMI, MANGALA NI MCHEZAJI WA MANCHESTER CITY, AKAMILISHA KILA KITU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE RASMI, MANGALA NI MCHEZAJI WA MANCHESTER CITY, AKAMILISHA KILA KITU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, August 11, 2014

    RASMI, MANGALA NI MCHEZAJI WA MANCHESTER CITY, AKAMILISHA KILA KITU

    KLABU ya Manchester City imethibitisha kukamilisha usajili wa Eliaquim Mangala kutoka Porto, na mchezaji huyo amesema anataka kushinda mataji na mabingwa hao wa England.
    Man City ambayo inakamilisha usajili wa mchezaji huyo siku moja baada ya kufungwa na Arsenal mabao 3-0 katika mechi ya Ngao ya Jamii, inaaminika wamelipa Pauni Milioni 32 kumpata mchezaji huyo. 
    Beki huyo wa kati atavaa jezi namba 20 Uwanja wa Etihad, na pia amesema kusajiliwa kwa mchezaji mwenzake wa Porto, Fernando Man City kumesaidia.Done: Eliaquim Mangala has signed for Manchester City from Porto in £32million deal
    Kifaa kipya: Eliaquim Mangala baada ya kusaini Manchester City 
    Kimeeleweka: Eliaquim Mangala amesaini Manchester City akitokea Porto kwa Pauni Milioni 32
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RASMI, MANGALA NI MCHEZAJI WA MANCHESTER CITY, AKAMILISHA KILA KITU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top