• HABARI MPYA

        Friday, June 13, 2014

        SAGNA ATUA MAN CITY MIAKA MITANO

        MCHEZAJI wa kimataifa wa Ufaransa, Bacary Sagna amejiunga na Manchester City kama mchezaji hurt kutoka wapinzani wao wa Ligi Kuu ya England, Arsenal.
        Beki huyo aliyedumua Arsenal kwa miaka saba, amesaini mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa Ligi Kuu, ambao utamfanya awe analipwa Pauni 150,000 kwa wiki mbali ya posho.
        Baada ya kumalizana na klabu hiyo, beki huyo wa pembeni sasa atajiunga rasmi na City Jula 1 - baada ya kumalizika kwa Kombe la Dunia.
        Kimeeleweka: Bacary Sagna amejiunga na Manchester City kwama mchezaji huru kutoka Arsenal
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SAGNA ATUA MAN CITY MIAKA MITANO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry