John Bocco 'Adebayor' wa Azam akiwatgoka mabeki wa B.Y.C. |
Beki wa B.Y.C., Carleo Anderson akiwa amelala kuondosha mpira miguuni mwa Kipre Tchetche |
John Bocco akipambana |
Humphrey Mieno akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa B.Y.C. |
Kipre Tchetche akiambaa na mpira mbele ya mabeki wa B.Y.C. |
Kikosi cha B.Y.C. leo |
Wazee wa VIP; Juu katikati ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Geofffrey Nyange 'Kaburu' |
Kikosi cha Azam leo |
Kipa wa B.Y.C., Winston Sayouh akiwapigia makofi mashabiki wa Yanga kuwashukuru kwa kuishangilia timu yake |
Sayouh mbele ya mashabiki wa Yanga |
John Bocco akimtoka mchezaji wa B.Y.C. Abraham Andrews |
Kipa wa B.Y.C. Winston Sayouh akidaka mbele ya wachezaji wa Azam |
Kipre Tchetche akijiandaa kumgeuza beki wa B.Y.C. |
Abdi Kassim 'Babbi' akipasua |
Hatari kwenye lango la B.Y.C. |
Khamis Mcha 'Vialli' akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa B.Y.C. |
Kipre Balou akisikitika baada ya kukosa bao la wazi |
Kipa Winston Sayouh akidaka mbele ya wachezaji wa Azam |