Wachezaji wa Chelsea wakimkimbilia mwenzao, kiungo Ruben Loftus-Cheek kumpongeza baada ya kufunga bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya nne na kwa ushindi huo Chelsea inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 14 na kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE SmackDown Results: Winners, Live Grades, Reaction, Highlights Before
Backlash
-
Welcome to Bleacher Report's live coverage of WWE SmackDown on May 3. This
week's show took place in Lyon, France, which is also where Saturday's
Backlash ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment