Beki wa kulia wa kikataifa wa Tanzania, Hassan Ramadhani Kessy akipeana mkono na kiongozi wa Nkana FC wakati wa kutambulishwa kwake leo mjini Lusaka, Zambia kufuatia kusaini mkataba wa miaka miwili
Hassan Kessy anayejiunga na Nkana FC akitokea Yanga SC ya nyumbani, Dar es Salaam amekabidhiwa jezi namba 22
Pamoja na Hassan Kessy aliyedumu kwa miaka miwili Yanga SC akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro, Nkana FC pia imetambulisha wachezaji wengine wapya leo
Jurgen Klopp breaks silence on Arne Slot's impending move to Liverpool as
outgoing Anfield boss calls role 'the best job in the world' ahead of his
emotional exit
-
LEWIS STEELE: Mail Sport understands that Liverpool and the Feyenoord boss
are in advanced negotiation stages and a deal for Slot to join the club
could be...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment