KOCHA Mdenmark wa timu ya taifa ya Tanzania, Kim Poulsen ameita kikosi cha wachezaji 23 ambacho kitaingia kambini kesho kujua saa na mchezo wa kirafiki katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru dhidi ya Uganda Desemba 9.
Katika kikosi hicho hajajumuishwa mchezaji hata mmoja wa Simba au Yanga, bila shaka kuziachia fursa klabu hizo ya maandalizi ya pambano baina yao Desemba 11.
0 comments:
Post a Comment