Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Kwa ushindi huo, United inaendeleza rekodi nzuri chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solkjaer ikifikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi na kupanda hadi nafasi ya tano ikiiteremsha Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bitcoin jumps to $78,000 as Trump extends Iran ceasefire
-
Bitcoin jumped to its highest level since early February as Trump extended
a ceasefire with Iran.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment