Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Kwa ushindi huo, United inaendeleza rekodi nzuri chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solkjaer ikifikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi na kupanda hadi nafasi ya tano ikiiteremsha Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘It smelled like bodies had been left to rot’: Survivors of Air India
disaster ‘forced to return to clear up crash site’
-
ON THE GROUND: Namita Singh visits the Flight 171 crash site in Ahmedabad,
where those who were inside the medical college at the time recall their
brush w...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment