Mshambuliaji Mzimbabwe wa Yanga, Donald Ngoma akimiliki mpira mbele ya beki wa Singida United katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-2
Mshambuliaji Mrundi wa Yanga, Amissi Tambwe (kulia) akiudhibiti mpira dhidi ya kiungo wa Singida United, Mudathir Yahya (kushoto)
Mfungaji wa bao la ushindi la Yanga jana, Emmanuel Martin akikimbilia mpira dhidi ya beki wa Singida
Viungo Mudathir Yahya wa Singida United (kulia) na Raphael Daudi wa Yanga wakionyeshana kazi katikati ya Uwanja
Juma Mahadhi wa Yanga akipambana na wachezaji wa Singida United
Baruan Akilimali wa Yanga akimiliki mpira pembeni ya mchezaji wa Singida United
Kikosi cha Yanga kilichoanza jana
Kikosi cha Singida United kilichoanza jana
Lionel Messi, Luis Suarez, Sergio Busquets and Jordi Alba step out to
attend Heat's playoff game vs. Celtics... as the Inter Miami captain is
joined by his son Mateo in the stands
-
Inter Miami's Lionel Messi, Luis Suarez, Sergio Busquets and Jordi Alba
supported a fellow South Florida franchise on Monday night as they attended
the Mia...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment