Beki wa zamani wa kimataifa wa England na klabu ya Arsenal, Sol Campbell akifurahia na mashabiki wa The Gunners mjini Dar es Salaam jana. Campblell leo atajumuika na mashabiki wa timu hiyo viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam kutazama mechi ya Ngao ya Jamii kati ya Arsenal na Chelsea
Shabiki wa kike Arsenal akimfurahia Sol Campbell aliyewasili nchini jana kwa mwaliko wa kampuni ya Sport Pesa
Sol Campbell alionyesha ucheshi wa kutosha kwa mashabiki wake timu yake hiyo ya zamani
CAF Confederation Cup: Dreams FC coach Karim Zito blames inexperience for
Zamalek defeat
-
Dreams FC coach, Abdul Karim Zito believes his team suffered from
inexperience during the 3-0 defeat to Zamalek in the semi-final of the CAF
Confederation ...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment