Eric Bailly (mbele kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenye ndege leo wakati wa safari ya kwenda mjini Skopje, Macedonia kwa ajili ya mcheo wa Super Cup ya UEFA dhidi ya Real Madrid kesho usiku Uwanja wa Nacionalna Arena Filip II. Man United ni mabingwa wa Ligi ya Ulaya na Real Madrid ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC's Jon Jones Says Potential Alex Pereira Fight Would Be Biggest 'in MMA
History'
-
Even though Jon Jones still has a bout with Stipe Miocic that will likely
happen at some point, the UFC heavyweight champion also has his sights set
on Alex…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment