Eric Bailly (mbele kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenye ndege leo wakati wa safari ya kwenda mjini Skopje, Macedonia kwa ajili ya mcheo wa Super Cup ya UEFA dhidi ya Real Madrid kesho usiku Uwanja wa Nacionalna Arena Filip II. Man United ni mabingwa wa Ligi ya Ulaya na Real Madrid ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment