Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (kushoto) akizungumza na Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Marius Omog (kulia) baada ya kuripoti mazoezini leo Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam, saa chache tu baada ya kuwasili Alfajiri ya leo kutoka Kigali alipokuwa kwa mapumziko, kufuatia kuachana na Yanga aliyoitumikia kwa miaka sita
Spurs lacked belief and conviction - Postecoglou
-
Ange Postecoglou says Tottenham lacked "belief and conviction" as their
Champions League hopes were hit by defeat at Chelsea.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment