• HABARI MPYA

    Monday, August 07, 2017

    UHOLANZI MALKIA WA SOKA LA WANAWAKE ULAYA

  • Wachezaji wa Uholanzi wakishangilia na taji lao la Kombe la Mataifa ya Ulaya kwa wanawake, EURO 2017 baada ya ushidi wa mabao 4-2 dhidi ya Denmark mjini Enschede. Mabao ya Uholanzi yalifungwa na Vivianne Miedema mawili, Lieke Martens na Sherida Spitse, wakati ya Denmark yalifungwa na Nadia Nadim na Pernille Mosegaard-Harder PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UHOLANZI MALKIA WA SOKA LA WANAWAKE ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top