Idrissa Gueye akiteleza kuifungia bao la pili Everton dakika ya 45 baada ya kazi nzuri ya Wayne Rooney katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Hajduk Split kwenye mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kucheza michuano ya Ligi ya Ulaya usikiu wa jana Uwanja wa Goodison Park. Bao la kwanza la Toffees lilifungwa na Michael Keane dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment