Idrissa Gueye akiteleza kuifungia bao la pili Everton dakika ya 45 baada ya kazi nzuri ya Wayne Rooney katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Hajduk Split kwenye mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kucheza michuano ya Ligi ya Ulaya usikiu wa jana Uwanja wa Goodison Park. Bao la kwanza la Toffees lilifungwa na Michael Keane dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two grandpas arrested by NDLEA for selling drugs to students
-
The National Drug Law Enforcement Agency (NDLEA) has arrested two elderly
men in Abia State for allegedly selling illicit drugs to secondary school
stude...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment