Idrissa Gueye akiteleza kuifungia bao la pili Everton dakika ya 45 baada ya kazi nzuri ya Wayne Rooney katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Hajduk Split kwenye mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kucheza michuano ya Ligi ya Ulaya usikiu wa jana Uwanja wa Goodison Park. Bao la kwanza la Toffees lilifungwa na Michael Keane dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Something I've never seen in 50 years of watching football'
-
There was an unusual addition to Chelsea's huddle before their game against
Newcastle at Stamford Bridge - referee Paul Tierney.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment