Idrissa Gueye akiteleza kuifungia bao la pili Everton dakika ya 45 baada ya kazi nzuri ya Wayne Rooney katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Hajduk Split kwenye mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kucheza michuano ya Ligi ya Ulaya usikiu wa jana Uwanja wa Goodison Park. Bao la kwanza la Toffees lilifungwa na Michael Keane dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIVE ab 19:45 Uhr: Die Warm-Up-Show vor dem Halbfinal-Hinspiel
-
Nobby Dickel meldet sich live aus dem SIGNAL IDUNA PARK und gibt euch die
letzten Informationen rund um das Halbfinalhinspiel in der UEFA Champions
League ...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment