Bondia Floyd Mayweather akifanya mazoezi ya wazi nje ya gym yake ya Mayweather Boxing Club kuonyesha namna alivyo tayari kwa pambano la 50 katika historia yake ya ngumi akiwa ameshinda yote 49 ya awali. Mmarekani huyo atapambana na mbabe wa UFC Conor McGregor Agosti 26, mwaka huu ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-NFL quarterback Johnny Manziel and new girlfriend Josie Canseco -
daughter of baseball legend Jose - make their relationship Instagram
official... as the couple share loved-up pictures at Stagecoach music
festival
-
Former NFL quarterback Johnny Manziel and model Josie Canseco have
confirmed their relationship on social medial, with the couple seen in
loved-up photos t...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment