Bondia Floyd Mayweather akifanya mazoezi ya wazi nje ya gym yake ya Mayweather Boxing Club kuonyesha namna alivyo tayari kwa pambano la 50 katika historia yake ya ngumi akiwa ameshinda yote 49 ya awali. Mmarekani huyo atapambana na mbabe wa UFC Conor McGregor Agosti 26, mwaka huu ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment