• HABARI MPYA

    Saturday, April 01, 2017

    SIMBA WAJIFUA KWENYE MVUA KAITABA LEO ASUBUHI

    Winga wa Simba, Shiza Kichuya akipiga mpira asubuhi ya leo Uwanja wa Kaitaba, Bukoba wakati wa mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar kesho jioni
    Beki Mkongo, Janvier Besala Bokungu akipiga mpira 
    Kiungo Mghana, James Kotei akipiga mpira mazoezini
    Kiungo fundi zaidi kwa sasa nchini, Said Hamisi Ndemla akip[iga mpira
    Meneja Mussa Mgosi kama kawaida naye alishiriki kidogo mazoezi
    Hapa makocha wanazungumza na wachezaji kabla ya kuanza mazoezi rasmi 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA WAJIFUA KWENYE MVUA KAITABA LEO ASUBUHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top