Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza Ufaransa kutwaa Kombe la Ligi mara nne mfululizo kufuatia kuifunga Monaco 4-1 Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais. Mabao ya PSG yalifungwa na Julian Draxler dakika ya nne, Angel Di Maria dakika ya 44 na Edinson Cavani mawili dakika za 54 na 90, wakati la Monaco lilifungwa na Thomas Lemar dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgraced ex-MLB star Trevor Bauer involved in scary car crash in
Arizona... days after begging teams to sign him
-
Bauer, 35, was blackballed by MLB franchises in 2021 after allegations of
sexual assault were made against him, and he has not pitched in the major
leagues...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment