Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza Ufaransa kutwaa Kombe la Ligi mara nne mfululizo kufuatia kuifunga Monaco 4-1 Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais. Mabao ya PSG yalifungwa na Julian Draxler dakika ya nne, Angel Di Maria dakika ya 44 na Edinson Cavani mawili dakika za 54 na 90, wakati la Monaco lilifungwa na Thomas Lemar dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks squander golden opportunity, miss chance to take commanding NBA
Finals lead
-
New York's 13-game playoff winning streak ended as turnovers mounted,
Karl-Anthony Towns disappeared and San Antonio finally got on the board.
30 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment