Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza Ufaransa kutwaa Kombe la Ligi mara nne mfululizo kufuatia kuifunga Monaco 4-1 Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais. Mabao ya PSG yalifungwa na Julian Draxler dakika ya nne, Angel Di Maria dakika ya 44 na Edinson Cavani mawili dakika za 54 na 90, wakati la Monaco lilifungwa na Thomas Lemar dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley vs Manchester City - Premier League LIVE: Latest score and updates
as Erling Haaland opens the scoring just FIVE minutes into Turf Moor clash
as Pep Guardiola's side look to leapfrog Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Burnley host Manchester City at Turf Moor.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment