Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la ushindi dakika ya 11 ikiwalza wenyeji, Chelsea 2-1 Uwanja wa Stamford Bridge, London jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesc Fabregas dakika ya tano, kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Palace dakika ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League star forced to hide in Middle Eastern bunker in 'terrifying'
ordeal amid US-Iran conflict
-
Newcastle defender Fabian Schar has revealed he spent a 'terrifying' few
days in the Middle East amid Iran's retaliatory strikes on the region.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment