Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la ushindi dakika ya 11 ikiwalza wenyeji, Chelsea 2-1 Uwanja wa Stamford Bridge, London jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesc Fabregas dakika ya tano, kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Palace dakika ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC accuses schools, supervisors of extorting candidates in ongoing WASSCE
-
By Gabriel Dike The West African Examinations Council (WAEC) on Monday said
it received alarming reports of supervisors and some schools extorting
candid...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment