Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la ushindi dakika ya 11 ikiwalza wenyeji, Chelsea 2-1 Uwanja wa Stamford Bridge, London jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesc Fabregas dakika ya tano, kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Palace dakika ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘This is why I came here’ - Kane's ‘blown everyone away’
-
Harry Kane just can't stop scoring - now all he needs is a first career
major trophy. Could the Champions League deliver?
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment