Marefa wa mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kati ya wenyeji Mbeya City dhidi ya Yanga SC ya Dar es Salaam wakitolewa kwa kusindikizwa na Polisi baada ya mechi hiyo. Mbeya City ilishinda 2-1
Nahodha wa Mbeya City, Kenny Ally akimtoka mchezaji wa Yanga
Winga wa Yanga, Simon Msuva (kushoto) akimpita beki wa MbeyabCity, Rajab Zahir
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akipiga hesabu jana Uwanja wa Sokoine
Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya akimiliki mpira mbele ya wachezaji wenzake
Wachezaji wa Mbeya City wakimzonga refa
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Mbeya kabla ya mchezo wa jana
Celtics cruise past Heat to reach play-off semis
-
The Boston Celtics maintain their good form to cruise past the Miami Heat
into the Eastern Conference play-off semi-finals.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment