Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji, Eden Hazard akipiga krosi mbele ya beki wa Uholanzi na Manchester United, Daley Blind katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Amsterdam Arena mjini Amsterdam, Uholanzi. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 Davy Klaassen akianza kuwafungia Uholanzi kwa penalti dakika ya 38 kabla ya Yannick Carrasco kuisawazishia Ubelgiji dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Paul's jaw is broken in Anthony Joshua battering:
YouTuber-turned-boxer rushes to hospital
-
Jake Paul drove himself to hospital with a suspected broken jaw after his
knockout defeat by Anthony Joshua.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment