Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji, Eden Hazard akipiga krosi mbele ya beki wa Uholanzi na Manchester United, Daley Blind katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Amsterdam Arena mjini Amsterdam, Uholanzi. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 Davy Klaassen akianza kuwafungia Uholanzi kwa penalti dakika ya 38 kabla ya Yannick Carrasco kuisawazishia Ubelgiji dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta reveals Jurrien Timber is back available for Arsenal after
nine months out injured but refuses to confirm if the Gunners will sign
David Raya permanently
-
Timber's return comes in time for him to play a part in the Gunners' bid to
secure a first Premier League title in 20 years. The Gunners are top of the
table.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment