• HABARI MPYA

    Sunday, November 13, 2016

    SABU, KIBADENI, GUMBO, MUCHACHO SIMBA SC ILIYOIUA MEHALLA 1-0 DAR

    Wachezaji wa Simba SC kutoka kulia Abdulrahman Muchacho, Abbas Dilunga, Omar Gumbo, Adam Sabu (marehemu), Abdallah Kibadeni na Shaaban Baraza wakiwa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam kablaa ya mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya Klabu Bingwa Afrika mwaka 1974 dhidi ya Mehalal El Kubra ya Misri. Simba ilishinda 1-0 bao pekee la Saad Ali.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SABU, KIBADENI, GUMBO, MUCHACHO SIMBA SC ILIYOIUA MEHALLA 1-0 DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top