Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akilalamikia jambo wakati wa mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Legia Warsaw usiku huu Uwanja wa Pepsi Arena mjini Warsaw, Poland. Timu hizo zilitoka sare ya 3-3 mabao ya Legia Warsaw yakifungwa na Vadis Odjidja, Miroslav Radovic na Thibault Moulin wakati ya Real yalifungwa na Gareth Bale, Karim Benzema na Mateo Kovacic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville names a VERY different top five Premier League midfielders to
'biased' Jamie Carragher
-
Gary Neville and Jamie Carragher don't often see eye-to-eye and that was
apparent with the pair naming their greatest-ever Premier League
midfielders.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment