Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akilalamikia jambo wakati wa mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Legia Warsaw usiku huu Uwanja wa Pepsi Arena mjini Warsaw, Poland. Timu hizo zilitoka sare ya 3-3 mabao ya Legia Warsaw yakifungwa na Vadis Odjidja, Miroslav Radovic na Thibault Moulin wakati ya Real yalifungwa na Gareth Bale, Karim Benzema na Mateo Kovacic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment