Jesus Navas (kushoto) wa Manchester City akijaribu kumlamba chenga Adam Clayton wa Middlesbrough katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 43 kabla ya Marten Roon kuisawazishia Middlesbrough dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TAKING THE MIC: With a dad like Open Goal's Si Ferry, it's little wonder
Frankie Ferry likes to talk... but despite his tender years, this budding
commentator isn't afraid to tell it like it is
-
Thirteen-year-old Frankie Ferry is in a cafe in the East End of Glasgow,
sitting across the table from his dad and podcast pioneer Si who he's
followed int...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment