Jesus Navas (kushoto) wa Manchester City akijaribu kumlamba chenga Adam Clayton wa Middlesbrough katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 43 kabla ya Marten Roon kuisawazishia Middlesbrough dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Air freight rates soar as Middle East conflict blocks trade routes
-
March 13 (Reuters) - Air freight rates have risen by as much as 70% on some
routes since the start of the U.S.-Israeli war on Iran, data shows, as the
conf...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment