Jesus Navas (kushoto) wa Manchester City akijaribu kumlamba chenga Adam Clayton wa Middlesbrough katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1. Bao la City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 43 kabla ya Marten Roon kuisawazishia Middlesbrough dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
76ers' Nick Nurse Talks Close Games in Knicks Series: 'I've Decided Nothing
Matters'
-
Philadelphia 76ers head coach Nick Nurse joked with reporters about the
team's close first-round playoff series against the New York Knicks on
Thursday. "I…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment