Wachezaji wa Chelsea wakisherehekea ushindi wa 5-0 dhidi ya Everton usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Eden Hazard mawili dakika za 19 na 56, Marcos Alonso dakika ya 20, Diego Costa dakika ya 42 na Pedro dakika ya 56 na kwa ushindi huo, The Blues wanapanda kileleni kwa kufikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 11, wakiiteremshia nafasi ya pili Manchester City yenye pointi 24 za mechi 11 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TAKING THE MIC: With a dad like Open Goal's Si Ferry, it's little wonder
Frankie Ferry likes to talk... but despite his tender years, this budding
commentator isn't afraid to tell it like it is
-
Thirteen-year-old Frankie Ferry is in a cafe in the East End of Glasgow,
sitting across the table from his dad and podcast pioneer Si who he's
followed int...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment