Wachezaji wa Chelsea wakisherehekea ushindi wa 5-0 dhidi ya Everton usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Eden Hazard mawili dakika za 19 na 56, Marcos Alonso dakika ya 20, Diego Costa dakika ya 42 na Pedro dakika ya 56 na kwa ushindi huo, The Blues wanapanda kileleni kwa kufikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 11, wakiiteremshia nafasi ya pili Manchester City yenye pointi 24 za mechi 11 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fair Game makes five demands for FA Cup reform
-
Football campaign group Fair Game issues five demands to reform the FA Cup
following the decision to scrap replays in the competition.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment