Kiungo Haruna Niyonzima (kushoto) akipiga kasi ya kumpiga chenga kali beki wa Ruvu Shooting, Mau Ally Bofu kabla ya kutia krosi iliyounganishiwa nyavuni na winga Simon Msuva kuipati Yanga bao la kusawazisha katika ushindi wa 2-1 jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Niyonzima amekwishamuacha chini Mau Bofu sasa anakwenda kutia krosi
Niyonzima aliwasisimua mashabiki jana Uwanja wa Uhuru kwa chenga hiyo
Na kwa ujumla Nahodha huyo wa Yanga jana alikuwa katika kiwango kizuri mno kimchezo
Erik ten Hag says Jadon Sancho's stellar display for Borussia Dortmund
against PSG is good news for Man United… because exiled winger's value will
go up!
-
Sancho's revival on loan at his old club in Germany continued when he
produced a man-of-the-match performance in Dortmund's Champions League
semi-final win
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment