Philippe Coutinho (kushoto) na Gabriel Jesus (kulia) wakishangilia na Neymar aliyefunga bao la pili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini leo Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto mjini Belo Horizonte, Minas Gerais, Brazil. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Coutinho na Paulinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sam Docherty: Footy star who beat cancer twice reveals how a new health
battle has left him shattered: 'I'm in the pit right now'
-
Carlton's Sam Docherty has endured more than most in his life - and the
defender has revealed his latest health battle has left him 'in the pit.'
Docherty ...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment