Mshambuliaji wa Yanga, Said Mwamba 'Kizota' (marehemu) akiinua mikono kufurahia bao lililofungwa na mchezaji mwenzake, Edibily Lunyamila katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda dhidi ya wenyeji SC Villa. Yanga ilishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo, bao lingine likifungwa na Kizota mwenyewe, ambalo lilikuwa la kwanza na la kusawazisha siku hiyo baada ya Villa kutangulia
Serena Williams suffers first-round defeat against Maya Joint after making
stunning Wimbledon return aged 44
-
MATTHEW LAMBWELL ON CENTRE COURT: Under the echoing roof of Centre Court,
Serena Williams, 44, returned after four years and did thrilling battle
with a wo...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment