Mshambuliaji wa Yanga, Said Mwamba 'Kizota' (marehemu) akiinua mikono kufurahia bao lililofungwa na mchezaji mwenzake, Edibily Lunyamila katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda dhidi ya wenyeji SC Villa. Yanga ilishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo, bao lingine likifungwa na Kizota mwenyewe, ambalo lilikuwa la kwanza na la kusawazisha siku hiyo baada ya Villa kutangulia
EFL Championship final day: Live scores, team news and updates as Ipswich
and Leeds fight for promotion to the Premier League
-
Follow Mail Sport's live blog from the final day of the EFL Championship
season with the second automatic promotion, and relegation battle all going
down t...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment