Bondia bora, Abdallah Mgeni ‘King Boxer’ akifanya mazoezi kwenye meli mwaka 1996. Mgeni (sasa marehemu) aliyewika kwenye ndondi miaka ya 1980 hadi 1990, alikuwa Baharia na muda mwingi alikuwa akifanya mazoezi melini, lakini pamoja na hayo alistaafu ngumi za kulipwa bila kupoteza pambano, akijiwekea rekodi ya kuwapiga mabondia bora akiwemo Habib Kinyogoli ‘Master’. Pumzika kwa amani fundi wa ngumi Abdallag Mgeni ‘King Boxer’
Nigeria’s economy contracted in April, fell to 49.4 –CBN
-
• FG’s reforms only good on paper, says Methodist Church By Uche Usim
Nigeria’s economy slowed down in April 2026 after more than a year of
steady growth...
9 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment