Washangiliaji wa kikundi cha Muchacho Group, maarufu kama Wana Kidedea wakiteremka kwenye Bandari ndogo ya Dar es Salaam kwenda kupanda boti mwaka 1992 kwa safari ya Zanzibar kuishangilia Simba SC kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati. Simba ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa kuwafunga mahasimu, Yanga kwenye fainali kwa penalti 5-4 baada ya sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Narvaez wins as Pogacar lights up Giro on day one
-
Ecuador's Jhonatan Narvaez outsprints Giro d'Italia favourite Tadej Pogacar
to win the opening stage of the Grand Tour.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment