Washangiliaji wa kikundi cha Muchacho Group, maarufu kama Wana Kidedea wakiteremka kwenye Bandari ndogo ya Dar es Salaam kwenda kupanda boti mwaka 1992 kwa safari ya Zanzibar kuishangilia Simba SC kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati. Simba ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa kuwafunga mahasimu, Yanga kwenye fainali kwa penalti 5-4 baada ya sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
BIG3 Best Bets: PrizePicks Props For Greg Monroe, Lance Stephenson, More
-
Check out three PrizePicks props to consider for Sunday's BIG3 Week 3
extravaganza in Miami, including bets for Power's Greg Monroe and 305's
Lance Stephen...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment