MMILIKI MPYA MTARAJIWA WA SIMBA SC ALIVYOJIACHIA NA KIPENSI LEO TAIFA
Bilionea Mohamed 'Mo' Dewji akiwapungia mkono mashabiki wa Simba SC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya AFC Leopard ya Kenya jioni ya leo. Simba ilishinda 4-0 mchezo huo uliohitimisha sherehe za miaka 80 ya klabu, maarufu kama Simba Day
Rais wa Simba SC, Ecans Aveva (kulia) akiwa meza kuu na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda
Wadau wakubwa wa Simba, Kassim Dewji (kulia) na Crescentius Magori (kushoto)
Waziri wa zamani wa Michezo, Profesa Juma Kapuya (kushoto) alikuwepo pia kuisapoti timu yake, Simba SC
Kutoka kulia Iddi Kajuna, Salum Muchacho na Magori
Mo Dewji akizungumza na beki wa zamani wa Simba SC, Talib Hilal (kushoto)
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tuliy (kulia) na Salim Abdallah (kushoto)
Mzee Kilomoni na Dalali pia walikuwepo pia leo Uwanja wa Taifa
Kama kawaida Nima katika siti yake ya siku zote alikuwepo Taifa leo
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Zacharia Hans Poppe naye alikuwepo Taifa leo
Shankland, Watson & Rangers win PFA awards
-
Hearts forward Lawrence Shankland is named PFA Scotland player of the year
as David Watson and Rangers' Rachel Rowe and Mia McAulay also take prizes.
Super sub Stina on her impact at City
-
Stina Blackstenius was the difference-maker in Sunday’s 2-1 win away to
Manchester City in the Barclays Women’s Super League
BVB-Frauen gewinnen 8:1 gegen Hohenlimburg
-
Die bereits als Aufsteiger feststehenden Fußballerinnen von Borussia
Dortmund haben sich am 21. Spieltag der Landesliga mit 8:1 (4:1) gegen den
SV Hohenlim...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment