Nyota wa Chelsea, Eden Hazard akimtoka mchezaji wa Werder Bremen, Clemens Fritz katika mchezo wa kirafiki leo. Chelsea ilishinda 4-2, mabao yake yakifungwa na Hazard dakika ya saba, Oscar dakika ya tisa, Costa dakika ya 45 na Pedro dakika ya 90, wakati ya Bremen yalifungwa na Claudio Pizarro dakika ya 32 na Lennart Thy dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal wonderkid 'attempted to force tenants out by peering through
living room blinds and moving in with his family' - as he is accused in
court of making their lives 'hell'
-
McGregor, who moved into the home with her mum, Fay, revealed the former
Arsenal wonderkid, who was present in court, had made her life 'hell'.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment