Wachezaji wa Real Madrid wakisherehekea taji la Super Cup ya UEAFA jana Uwanja wa Lerkendal mjini Rosenborg, Norway baada ya kuwafunga kwa Sevilla 3-2 ndani ya dakika 120. Mabao ya Real iliyowakosa nyota wake kama Pepe, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 21, Nahodha Sergio Ramos dakika ya 90 na ushei na Dani Carvajal dakika ya 119, wakati ya Sevilla yalifungwa na Franco Vazquez dakika ya 41 na Yevhen Konoplyanka dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dangerous heatwave scorches US ahead of Fourth of July holiday
-
Millions are enduring dangerous heat and humidity, with temperatures
expected to stay at 38C (100F) for several days.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment