Wachezaji wa Real Madrid wakisherehekea taji la Super Cup ya UEAFA jana Uwanja wa Lerkendal mjini Rosenborg, Norway baada ya kuwafunga kwa Sevilla 3-2 ndani ya dakika 120. Mabao ya Real iliyowakosa nyota wake kama Pepe, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo yalifungwa na Marco Asensio dakika ya 21, Nahodha Sergio Ramos dakika ya 90 na ushei na Dani Carvajal dakika ya 119, wakati ya Sevilla yalifungwa na Franco Vazquez dakika ya 41 na Yevhen Konoplyanka dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Korda leads U.S. bid for Solheim Cup win on the road. Her captain knows how
to get it done
-
Nelly Korda is the No. 1 in the world, a multiple major winner and an
Olympic gold medalist. “There’s no greater feeling,” Korda says,
“especially stepping...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment