• HABARI MPYA

    Sunday, August 07, 2016

    ARSENAL YAIFUNGA 3-2 MAN CITY KIRAFIKI SWEDEN

    Kiungo mpya wa Arsenal, Granit Xhaka akimgeuza Pablo Zabaleta wa Manchester City katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya usiku huu Uwanja wa Nya Ullevi mjini Goteborg, Sweden. Arsenal imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Alex Iwobi dakika ya 50, Theo Walcott dakika ya 73 na Chuba Akpom dakika ya 86, wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 30 na Kelechi Iheanacho dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAIFUNGA 3-2 MAN CITY KIRAFIKI SWEDEN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top