Kiungo mpya wa Arsenal, Granit Xhaka akimgeuza Pablo Zabaleta wa Manchester City katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya usiku huu Uwanja wa Nya Ullevi mjini Goteborg, Sweden. Arsenal imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Alex Iwobi dakika ya 50, Theo Walcott dakika ya 73 na Chuba Akpom dakika ya 86, wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 30 na Kelechi Iheanacho dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangnick talks ongoing over Bayern Munich job
-
Negotiations between Bayern Munich and Austria boss Ralf Rangnick are
ongoing over him becoming their new manager.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment