Kiungo mpya wa Arsenal, Granit Xhaka akimgeuza Pablo Zabaleta wa Manchester City katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya usiku huu Uwanja wa Nya Ullevi mjini Goteborg, Sweden. Arsenal imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Alex Iwobi dakika ya 50, Theo Walcott dakika ya 73 na Chuba Akpom dakika ya 86, wakati ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 30 na Kelechi Iheanacho dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cole Palmer tells Thomas Tuchel 'I could have offered something different'
after his England World Cup snub
-
The Chelsea star, 23, was one of a number of high-profile omissions from
the 26-man Three Lions side bidding to end 60 years of hurt in North
America this ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment